Diamond Finally Speaks Out on Break Up With Tanasha

By - - [General]

Bongo musician Diamond Platnumz has finally addressed his highly publicised break up with Tanasha, confirming earlier remarks by the Kenyan songbird that personal differences led to their split.

Speaking on Wasafi media, Diamond disclosed that he was keen to marry Tanasha but things did not work out.

“Nilikuwa nataka kumuoa Tanasha 100%, ndo maana hata mtu alikuwa akija tu kuzungumzia mahusiano na mimi, namwambia naomba tuheshimiane. Lakini sielewi kwa sababu gani, labda mwenyezi mungu anamakusudi yake aliyopanda mbele ndo maana kwa nia njee tukaona hatukutani sehemu tunataka tukutane. Lakini yeye(Tanasha) anania safi na mimi pia nina nia safi, lakini kuna vitu ambavyo katika future yetu vilikuwa havikutani, ndiposa tukasema kila mtu inabidii atafakari ni njia ipi anachukua,” said Diamond Platnumz.

The singer, however, declined to go into details, out of respect for Ms Donna.

”Kwasababu mzazi mwenzangu hajaweka bayana sio vizuri mimi kuziweka bayana, lakini kiukweli hatuko pamoja. Mimi Na Tanasha kuna sababu ambazo nadhani zilikuwa nje ya uwezo wetu tukasema labda tupeane space lakini haihusishi na kufumaniana. Kuna makubaliano tu ya kifamilia ya kujenga future yetu ya kesho tulikuwa hatukutani katikati… yeye anataka hivi, mimi nataka vile. Mungu kama amepanga kuwa wote tunaweza kuwa wote lakini kama hakupanga basi haiwezi kuwa,” added Platnumz.

He also revealed that he is not ready to start a new relationship because his mother is always dragged into his affairs.

“Sijui Kwanini Nikiachana Na wanawake Mama Yangu Anahusishwa, Ndio Maana Sasa hivi Sitaki Tena Kuwa Kwenye Mahusiano Na Mtu Yeyote Au ikitokea Nipo Kwenye Mahusiano Basi Ni Ndoa,” he said.




Facebook     Twitter     WhatsApp     Telegram


Kindly Login or Register to comment and like and earn

Comments (0)


No comments for this post

Others are reading



You should be compassionate and forgiving When I am afraid I put my trust in God Five things successful people do before 8am Success is something you attract by the person you become Christian Ronaldo threatens to break word history ever been made in sport word The most common Beaches in Yimbo West Ward in Bondo sub county The only dispensary in Bunyala south ward in Busia County Do the right thing when it’s hard If you don’t love someone neither use nor take things from them And a number of nations will be joined to the Lord in that day, and will become my people; and I will be living among you, and you will see that the Lord of armies has sent me to you.